ABN Seed Catalogue

Mifano ya kurasa zilizotumiwa

Muhtasari

Chapisho hili linaangazia mradi ulioanza mwaka wa 2018. Ulianzishwa na mashirika manne yasiyo ya kiserikali chini Ethiopia, Benin, Ghana na Zimbabwe. Miungano hii ni wanachama washirika wa Africa Biodiversity Network.

Mradi huu unakusudia kufufua utofauti wa wakulima na shughuli nyingine za maarifa ya kiasili. Unalenga zaidi kuchangia katika mchakato mpana wa kuhakikisha uhuru wa chakula na maisha yaliyoboreshwa Afrika kwa kuimarisha uwezo wa jamii za mashinani kuhifadhi na kutunza utofauti wa viumbe hai. Kuundwa kwa katalogi hii ni mojawapo ya malengo yaliyotajwa lililotekelezwa na mradi huu.

Mchango wetu

Uhariri
Kuhariri kiundani
Kupeana majina ya kisayansi ya kila mbegu
Kuunda yaliyomo
Kuunda ujumbe wa kina kuhusu mbegu zilizo ndani ya katalogi

Michoro
Kuunda michoro ya kisayansi ya mbegu za kiasili ndani ya katalogi hiyo

Usanifu
Usanifu wa muundo
Usanifu wa picha

Uchapishaji
Nakala zilizoundwa tayari kwa uchapaji
Nakala ndogo zilizoundwa ili kusambaza mtandaoni kwa urahisi
Nakala zilizopigwa chapa

Mwaka wa uchapishaji: 2022

Lengo la Malengo ya Maendeleo Endelevu linalohusiana na chapisho