EQ for Africa Magazine

Mifano ya kurasa zilizotumiwa

Muhtasari

EQ4Africa ni kongamano la kila mwaka linaloleta watu wenye maarifa ulimwenguni kwote kwa maarifa ya kihisia kuleta mabadiliko barani Afrika katika nyumbani, biashara na katika jamii. Kongamano hili ni jukwaa la kusambaziana maarifa, kujifunza maarifa ya moja kwa moja na kutangamana-ambako washiriki husambaziana ujuzi, kukua kwa ujuzi halisi na kupata vidokezo vya mazoezi juu ya kutumia maarifa ya kihisia kustawi katika mazingira yanayokua kila mara.

Mchango wetu

Uhariri
Kuhariri kiundani
Kusoma kwa prufu

Usanifu
Kutengeneza muundo wa jarida
Usanifu wa muundo
Grafu
Usanifu wa picha

Uchapishaji
Nakala zilizoundwa tayari kwa uchapaji
Nakala ndogo zilizoundwa ili kusambaza mtandaoni kwa urahisi

Mwaka wa uchapishaji: 2021

 

Lengo la Malengo ya Maendeleo Endelevu linalohusiana na chapisho