Muhtasari wa sera ya mpango wa utekelezaji wa malisho wa Afrika Mashariki

Mifano ya kurasa zilizotumiwa

Muhtasari

Sekta ya mifugo ni muhimu sana kwa maisha ya watu, usalama wa chakula na lishe, uchumi, na uthabiti wa idadi ya watu katika eneo la Afrika Mashariki. Mpango wa Utekelezaji wa Malisho ya Mifugo wa Afrika Mashariki wa 2024-2028  unalenga kupatia serikali, washirika katika maendeleo, sekta za kibinafsi, na wafugaji wa mifugo mtazamo wa mpango maalum na wenye utaratibu wa kushughulikia kwa uendelevu changamato za malisho ya mifugo za eneo hili. Muhtasari huu wa sera unatoa muhtasari wa utendaji wa sera kuu, ukionyesha vipengele muhimu vya mipango yake muhimu ya utekelezaji na malengo.

 

Mchango wetu

Kuhariri
Uhariri thabiti
Kusahihisha

Ubunifu
Ubunifu wa michoro
Uchapishaji kupitia tarakilishi

Uchapishaji
PDF Iliyo tayari kuchapishwa
Faili ndogo ya PDF iliyo rahisi kushiriki na watu mtandaoni

 Mwaka wa uchapishaji: 2024

Lengo la Malengo ya Maendeleo Endelevu linalohusiana na chapisho