The Genocide Fugitive Tracking Unit
Mifano ya kurasa zilizotumiwa
Muhtasari
Kikosi cha Kufuatilia Watoro wa Mauaji Makubwa ya Kimaksudi (GFTU) kilianzishwa Novemba 2007 na Mamlaka ya Mashitaka ya Umma ya Kitaifa (NPPA) kama kitengo maalumu. GFTU imekabidhiwa azma iliyo wazi na serikari ya Rwanda: Kushughulikia na kuwaletea usawa makumi ya maelfu ya washukiwa wa mauaji ya kikabila wanaoishi katika pembe zote za dunia, mara nyingine waziwazi, lakini mara nyingi kisirisiri. Tulitengeneza posta kubwa na nyingi za A2 ili kurahisisha usambazaji.
Mchango wetu
Uhariri
Kuhariri kiundani
Kusoma kwa prufu
Usanifu
Usanifu wa muundo
Usanifu wa picha
Uchapishaji
Nakala zilizoundwa tayari kwa uchapaji
Nakala zilizopigwa chapa
Mwaka wa uchapishaji: 2014